Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Babu Njenje ni nani?
Iliyochapishwa
Msanii maarufu wa muziki wa Band nchini Tanzania na baadhi ya maeneo ya Afrika mashariki, Mabrouk Hamis Omar, maarufu kama babu njenje amefarki dunia na kuzikwa jana jijini Dar es Salaam.Babu Njenje alipata umaarufu mkubwa katika bendi yake ya The Kilimanjaro Band, kutokana na umahiri katika kazi ya Sanaa ya muziki. Mwandishi wa BBC Halima Nyanza anasimulia wasifu wake.