Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Virusi vya corona:Rais Magufuli atoa maagizo ndege za kubeba watalii kuingia
Iliyochapishwa
Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli amesema kuna maombi ya watalii kuingia nchini Tanzania. Ametaka Wizara ya Maliasili na Wizara ya Uchukuzi kuziruhusu ndege hizo kuingia nchini.