Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Virusi vya corona: Wakenya wabuni mbinu tofauti ya kufanya ibada nyumbani
Iliyochapishwa
Ibada ya roshani yaandaliwa nchini Kenya kama njia ya kujilinda na maambukizi ya virusi vya corona.
Ibada hii kwa jina maarufu B2B umewavutia wazazi na watoto kushiriki pamoja huku wakiangazia sheria ya kukaa umbali