Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Virusi vya corona: Ukipona virusi hivi waweza kuvipata tena?
Iliyochapishwa
Kuambukizwa virusi vya corona haina maana kwamba utaishi navyo milele kwani wataalamu wa Afya wanasema mtu anaweza kupona kabisa lakini asipokuwa makini anaweza kuvipata tena