Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Virusi vya corona: Changamoto ya kuosha mikono wakati kuna uhaba wa maji
Iliyochapishwa
Kunawa mikono ni njia moja ya kukabiliana na virusi vya corona lakini kwa mataifa mengi ya Afrika kuna uhaba wa maji. Sasa je unawezaje kuhakikisha uko salama wakati maji yenyewe kupatikana ni changamoto? Guy Mbayo kutoka Shirika la Afya Duniani anatoa mawazo yake.