Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Coronavirus: Waziri mkuu wa Uingereza Boris Johnson yuko katika chumba cha wagonjwa mahututi.
Iliyochapishwa
Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson ambaye alipatikana na virusi vya corona wiki iliyopita alihamishwa hadi chumba cha wagonjwa mahututi kulingana na ushauri uliotolewa na timu yake ya madaktari.