Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Coronavirus: Wapenzi waliohairisha harusi yao
Iliyochapishwa
Zuio la mikusanyiko ya watu yaweza kuwa sababu tosha kwa wapenzi kubadili mipango yao ya harusi kwa sasa.
Hatahivyo Esther Samini na Michael Mugo kutoka nchini Kenya ni miongoni mwa wapenzi wengi duniani waliolazimika kubadili mipango yao ya ndoa bila kujua ni lini wataweza kutimiza kufanikisha siku yao hiyo ya muhimu ya maisha