Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Coronavirus: Athari za kiuchumi zaanza kuonekana
Iliyochapishwa
Kenya ni miongoni mwa mataifa 26 barani Afrika ambayo yametangaza kuwepo kwa maambukizi ya virusi vya corona.
Kufikia sasa, watu wanne wamethibitishwa kuwa na virusi hivyo huku wengine wakifanyiwa uchunguzi kubaini ikiwa wameambukizwa virusi hivyo.
Jijini Nairobi biashara imeathiriwa huku wengi wakihofia afya zao.