Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Mataifa matano yanavyong'ang'ana kukabiliana na mlipuko wa coronavirus
Iliyochapishwa
Kwa sasa kuna maambukizi mapya ya Covid-19 nje ya China kuliko ndani ya mipaka yake, kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani. Hatua zilizochukuliwa kupunguza kuenea coronavirus zinatofautiana kwa viwango kuanzia kiwango kikubwa cha karantini nchini Uchina hadi kufutwa kwa mechi za soka Italia.