Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Wataalamu wanasema watoto wamegeuzwa 'mashine'
Iliyochapishwa
Watoto wadogo wa umri wa miaka mitano huamka mapema mwendo wa saa kumi na moja alfajiri kwenda shuleni.
Wataalamu wanasema kuwa watoto wameporwa haki yao ya kuwa watoto.