Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Trump afichwa maeneo ya aibu India
Iliyochapishwa
Ziara ya Trump inatarajiwa kufanyika jimboni Gujarat, yalipo makazi ya Waziri Mkuu wa India Narendra Modi.
Macho yote yatakua mji mkuu Ahmedabad, ambako Trump anasema anatarajia mamilioni ya watu kumkaribisha.
Lakini wakazi wa maeneo duni hawajali kuhusu ziara hii, wakiwemo wale waliofichwa nyuma ya ukuta na wale baadhi waliopata notisi ya kuyahama makazi yao.