Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Changamoto kwa watu walemavu kupata mkopo nchini Tanzania
Iliyochapishwa
Halmashauri zote nchini Tanzania zinapaswa kutenga asilimia mbili ya mapato kwa ajili ya walemavu, changamoto iko wapi katika kutekeleza suala hilo?