Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Matumizi ya kondomu nchini Nigeria ni machache mno
Iliyochapishwa
Ni asilimia 34 tu ya waNigeria watu wazima wanotumia mipira ya Kondomu wanapojihusisha na ngono utafiti umesema. Kulingamna na utafiti wa NOIPOLLS ni asilimia 28 tu ya idadi yote ya watu hao hutumia mipira hiyo mara kwa mara. Je, unadhani umuhimu wa matumizi ya Mipira ya kondomu unasisitizwa ipasavyo? sema nasi kwenye ukurasa wa Facebook, BBCSwahili.