Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Makombora kadhaa yaliyorushwa kutoka Iran yalilenga eneo la Irbil na Al Asad
Iliyochapishwa
Iran imefanya mashambulio ya makombora dhidi ya ngome za kijeshi za Marekani nchini Iraq kama hatua ya kulipiza kisasi mauaji ya jenerali Qasem Soleimani.
Makombora kadhaa yaliyorusha kutoka Iran yalilenga eneo la Irbil na Al Asad, magharibi mwa mji wa Baghdad.
Haijabainika ikiwa kuna majeruhi yoyote yaliyotokana na shambulio hilo.