Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Uamuzi wa Tanzania kujitoa katika mahakama ya Afrika una athari gani?
Iliyochapishwa
Tanzania inasema imeamua kuitoa itifaki inayowaruhusu wananchi binafsi na mashirika yasiyo ya kiserikali kuishitaki Tanzania katika Mahakama ya Afrika ya Haki za Watu na Binadamu baada ya kujiridhisha kwamba itifaki hiyo inapingana na sheria za ndani za Tanzania.
Mwandishi wa BBC Yusuph Mazimu amezungumza na Mohamed Olotu, ambaye alihukumiwa kwenye mahakama za Tanzania kabla ya kwenda kwenye Mahakama hii na kushinda.
Kwanza alimuuliza amepokeaje uamuzi huu wa Tanzania?