Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
M-lugha app: Programu inayowawezesha wanafunzi na waalimu kuelewana darasani
Iliyochapishwa
Abdinoor Alimahad, kijana mhandisi wa mawasiliano kutoka jimbo la Kaskazini Mashariki ameshuhudia binafsi changamoto za watoto wanaosoka katika jamii zilizobaki nyuma kimaendelea , hususan katika masomo ya lugha . Alibuni programu inayoitwa M-Lugha, ambayo ni app inayotafsiri mtaala wa sasa wa masomo nchini Kenya kutoka lugha ya Kiingereza na kuiweka taka lugha mama....