M-lugha app: Programu inayowawezesha wanafunzi na waalimu kuelewana darasani
Iliyochapishwa
Abdinoor Alimahad, kijana mhandisi wa mawasiliano kutoka jimbo la Kaskazini Mashariki ameshuhudia binafsi changamoto za watoto wanaosoka katika jamii zilizobaki nyuma kimaendelea , hususan katika masomo ya lugha . Alibuni programu inayoitwa M-Lugha, ambayo ni app inayotafsiri mtaala wa sasa wa masomo nchini Kenya kutoka lugha ya Kiingereza na kuiweka taka lugha mama....