Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Vipi unaweza kuutambua ugonjwa wa Mabusha?
Iliyochapishwa
Katika vijiji vya Umbuji na Kanuni kisiwani Zanzibar Mzee Hamza na Mzee Shahib, wanaishi na Mabusha - hali inayochangia kufura kwa wakatimaji maji yanajikusanya katika ngozi nyembamba ya korodani. Wanazungumzia changamoto, aibu na unyanyapaa na jinsi walivyofanikiwa kuishi katika jamii na hali hiyo.