Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Imam jasiri aliyeendelea na salah wakati wa tetemeko la ardhi lililokumba msikiti wa bali nchini Indonesia
Iliyochapishwa
Imam huyu katika msikiti mmoja wa Bali nchini Indonesia aliendelea kuomba licha ya tetemeko kubwa la ardhi kukumba msikiti huo.