Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Trump: Tumerejesha madaraka kwa raia
Iliyochapishwa
Rais wa Marekani Donald Trump, baada ya kuapishwa, ametangaza kwamba kuapishwa kwake kumerejesha mamlaka kutoka Washington hadi kwa raia.
Amesema watu waliojihisi kusahauliwa, hawatajihisi hivyo tena.