Trump: Tumerejesha madaraka kwa raia

Maelezo ya video, Trump: Tumerejesha madaraka kwa raia
Iliyochapishwa

Rais wa Marekani Donald Trump, baada ya kuapishwa, ametangaza kwamba kuapishwa kwake kumerejesha mamlaka kutoka Washington hadi kwa raia.

Amesema watu waliojihisi kusahauliwa, hawatajihisi hivyo tena.