Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
EPL: Manchester City washinda Wolves kwa mabao 3 kwa 1
Iliyochapishwa
Manchester City wameanza mechi yao ya kwanza kuwania kombe la EPL kwa kuichabanga Wolves kwa mabao matatu kwa moja kwenye mchezo uliopigwa Molineux. Mabao ya City yalifungwa na De Bruyne, Foden , Gabriel Jesus na la pekee la Wolves lilifungwa na Jiménez.