Mwanamziki Brian May amekosoa uhaba wa vifaa vya kupima corona

Maelezo ya sauti, Mwanamziki Brian May amekosoa uhaba wa vifaa vya kupima corona
Iliyochapishwa

Mwanamuziki wa Uingereza Brian May amesema kushindwa kununua vifaa muhimu vya kujikinga na maradhi ya Covid-19 ni swala la kuvunja moyo na kuogofya. Brian aliambia BBC kwamba ana hasira na huzuni kwamba wafanyikazi wa huduma ya afya walitarajiwa kuhatarisha maisha yao na kushughulikia wagonjwa bila kinga muhimu.