Mwanamziki Brian May amekosoa uhaba wa vifaa vya kupima corona
Iliyochapishwa
Mwanamuziki wa Uingereza Brian May amesema kushindwa kununua vifaa muhimu vya kujikinga na maradhi ya Covid-19 ni swala la kuvunja moyo na kuogofya. Brian aliambia BBC kwamba ana hasira na huzuni kwamba wafanyikazi wa huduma ya afya walitarajiwa kuhatarisha maisha yao na kushughulikia wagonjwa bila kinga muhimu.
