Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Virusi vya Corona: Kiungo wa Manchester Marouane Fellaini apona
Iliyochapishwa
Kiungo wa zamani wa Manchester United Marouane Fellaini ameruhusiwa kuondoka hopitalini alipokuwa akipokea matibabu baada ya kuambikzwa virusi vya Corona,Mach 22. Fellaini ameishukuru klabu yake ya Shandong Luneng kwa kuwa mstari wa mbele kuhakikisha kuwa anarejea katika hali yake ya kawaida ya afya.