Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Matajiri wanafaa kulaumiwa kwa mzozo wa hali ya hewa duniani.
Iliyochapishwa
Matajiri wanafaa kulaumiwa kwa mzozo wa hali ya hewa duniani, utafiti uliofanywa na Chuo Kikuu cha Leeds cha nchi 86 unasema. Mmoja kati ya watu kumi zaidi duniani hutumia nishati mara 20 ya nguvu zaidi, popote pale wanapoishi. Je, unakubaliana na utafiti wa chuo hiki kuwa matajiri wanachangia kuharibu hali ya hewa zaidi?