Kiungo wa Manchester achangisha pesa za msaada

Iliyochapishwa

Kiungo wa kati wa Manchester United Paul Pogba ameanza kuchangisha pesa ambayo itasaidia shirika la Unicef kuwasaidia watoto walioathirika kutokana na virusi vya corona. Raia huyo wa Ufaransa anasema ataongeza hela hizo maradufu iwapo lengo lake la pauni elfu £27, litaafikiwa