Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Uoga wa kusambaa kwa Corona wafanya wanandoa kufunga harusi mtandaoni
Iliyochapishwa
Wapenzi wawili kutoka Singapore Joseph Yew na mkewe Kang Ting walirejea nyumbani baada ya matembezi yao nchini uchina kabla ya sherehe ya ndoa yao . hapo ndipo washiriki wa sherehe hio walizua uoga wao kutokana na kuenea kwa virusi vya Corona .Bwana na Bi harusi waliamua kukaa mbali huku wakipeperusha mubashara ndoa yao kupitia mitandao ya kijamii ambabo jamaa na marafiki waliwatizama wakibadilishana pingu za ndoa.