Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Vituo vya Mafuta vinavyoelea majini huko Lamu
Vituo vya Mafuta vinavyoelea majini huko Lamu
- Author, Hassan Lali
- Nafasi, Shoot Edit
- Iliyochapishwa
Katika kisiwa cha pwani cha Kenya cha Lamu, ongezeko la visa vya moto limesababisha serikali kupiga marufuku kuuza mafuta kwenye ardhi ya nchi kavu.
Hii ina maana kwamba vituo vya petroli vimehamishwa hadi katika bahari ya Hindi. Lakini hivi sio vituo vyako vya kawaida vya petroli kama mwandishi wa BBC Hassan Lali alivyogundua