Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
'Rushwa ya ngono ipo kubwa sana kwenye muziki'-Stara
'Rushwa ya ngono ipo kubwa sana kwenye muziki'-Stara
Iliyochapishwa
Moja ya changamoto inayoikabili tasnia ya muziki nchini Tanzania inatajwa kuwa ni rushwa ya ngono.
Mwanamuziki wa siku nyingi Stara Thomas anathibitisha hilo kwa kusema kuwa wanamuziki wa kike ndiyo waathirika wakubwa zaidi. Akiongea na mwandishi wa BBC mkongwe huyo wa muziki wa zuku nchini anasema kuwa ni muda sasa kwa wasanii wa kike kuwa na taaluma ya muziki ili waweze kujisimamia na kukabiliana na tatizo hilo. Mwandishi wa BBC Veronica Mapunda amezungumza naye.