‘Kuwa makini na mtu anayesema anataka kujiua’ - Mwanasaikolojia

‘Kuwa makini na mtu anayesema anataka kujiua’ - Mwanasaikolojia
Iliyochapishwa

Kulingana na Shirikisho la Afya ya Akili Dunia (WFMH), asilimia 75 na 95 ya watu wanaokabiliwa na matatizo ya afya ya kiakili katika nchi zenye mapato ya chini na zile za mapato ya wastani hawawezi kupata huduma kabisa. Hata hivyo asilimia kubwa ya vijana hawana elimu ya kutosha ya afya ya akili, Sasa kijana mmoja kutoka nchini Tanzania ameandaa tamasha linalowakutanisha vijana kutoka sehemu mbali mbali la @watukonekt ili kuzungumzia musuala ya afya ya akili. Mwandishi wa BBC @elizabethkazibure ametuandalia taarifa hii