Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Je unafahamu kuwa ni marufuku kwa polisi ambaye hajaolewa kubeba mimba nchini Nigeria?
Iliyochapishwa
Mahakama Kuu nchini Nigeria imedumisha uamuzi wa kikosi cha polisi kumfuta kazi afisa wa polisi wa kike ambaye alipata ujauzito nje ya ndoa mwaka jana.