Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Zanzibar ndio eneo pekee linalovutia mamia ya watalii wakati huu wa janga la corona
Iliyochapishwa
Baada ya maeneo mengi ya mapumziko kufungwa duniani kote kutokana na janga la corona ,kisiwa cha bahari ya hindi, Zanzibar imeanza kuvutia soko jipya la utalii na mamia ya watalii wakiingia kisiwani humo.
Mwandishi wa BBC, Salim Kikeke alitembelea eneo hilo...