Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Diamond Platinumz:Tangu utotoni Koffi Olomide ndio msanii wangu bora
Iliyochapishwa
Mwanamuziki maarufu nchini Tanzania Diamond Platinumz ameachia kibao kipya alichomshirikisha mwanamuziki nguli kutoka Jamuhuri ya kidemokrasia ya Congo Koffi Olomide kinachojulikna kama Waah!!!
Hamida abubakar Amezungumza nae kutaka kufahamu kwanini aliamua kufanya ushirikiano na msanii huyo.
Miongoni mwa wasanii ambao wameshirikiana na diamond kimziki ni pamoja na Innoss B,Fally Ipupa na ya Levis