Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Jinsi Kassim Majaliwa alivyoteuliwa kuendelea na uwaziri mkuu Tanzania
Iliyochapishwa
Rais John Magufuli amemteua tena mbunge wa Ruangwa, Kassim Majaliwa kuendelea na wadhifa wa Waziri Mkuu wa Tanzania.