Jinsi Kassim Majaliwa alivyoteuliwa kuendelea na uwaziri mkuu Tanzania

Maelezo ya video, Kassim Majaliwa ateuliwa kuendelea na uwaziri mkuu Tanzania
Iliyochapishwa

Rais John Magufuli amemteua tena mbunge wa Ruangwa, Kassim Majaliwa kuendelea na wadhifa wa Waziri Mkuu wa Tanzania.