Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Shughuli za utalii 'Mlima Kilimanjaro' zinaendelea
Iliyochapishwa
Mamlaka ya wanyapori nchini Tanzania imetoa rai kwa wenyeji na wageni kuondoa hofu na kuendelea na shughuli za utalii kama kawaida kwenye hifadhi ya Mlima Kilimanjaro, kwani tahadhari imeshachukuliwa.