Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Uchaguzi Tanzania 2020: Tundu Lissu alakiwa kwa kuitwa 'Rais'
Iliyochapishwa
Mwanasiasa wa upinzani Tanzania, Tundu Lissu amerejea nyumbani na kulakiwa na mamia ya wafuasi wake katika jiji la kibiashara la Dar es Salaam, karibu miaka mitatu tangu anusurike na jaribio la mauaji.