Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Said Jammal alimjengea nyumba ya mkewe kwa miaka 20
Iliyochapishwa
Mhandisi Said Jammal ametumia miaka 20 kujenga nyumba ya familia yake mjini Abuja ,Nigeria.
Mhandisi huyo anasema kuwa anataka kuacha kumbukumbu akiondoka.
Nyumba hiyo ya ndege ameijenga kwa ajili ya mapenzi yake kwa mkewe, heshima kwa taifa lake na zawadi kwa familia yake.
Nyumba yake imekuwa kivutio cha utalii.