Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Mkenya anayemiliki pango kumridhisha Mungu
Iliyochapishwa
Francis Ouma kutoka magharibi mwa Kenya anamiliki pango la vyumba 24 ambalo anadai kwamba alilichimba baada ya kuamrishwa na Mungu.
Ndani ya pango hilo kuna chumba kimoja ambacho kina jiwe lililoandikwa 'Amri 5' ambazo anadai alipewa na Mungu. Faith Sudi alimtembelea nyumbani kwake na akaandaa taarifa hii.
Unaweza kusoma pia: