BBC News, Swahili - Habari
Habari Kuu
Moja kwa moja, Marekani na Saudi Arabia zakubaliana kushirikiana katika nishati ya nyuklia
Baadhi ya wabunge wa Marekani wameeleza wasiwasi wao wakisema hatua hiyo inaweza kuipa Saudi Arabia uwezo wa kuendeleza mpango wa silaha za nyuklia, ingawa Riyadh imekuwa ikisisitiza kuwa inalenga matumizi ya amani ya nishati ya nyuklia.
Kwanini Iran inajihatarisha katika harakati za kuudhibiti Mlango Bahari wa Hormuz
Hakuna hata moja kati ya chaguzi zinazowakabili viongozi wa Iran inayotoa njia ya wazi ya kupata ushindi, huku mzozo na Marekani ukiendelea.
Kwa nini Beckham akawa sura ya Kombe la Dunia nchini Marekani?
Nchini Marekani, hakuna mtu anayeweza kutambulisha soka kwa umma kama David Beckham, na wakati wa Kombe la Dunia la hivi karibuni, ilikuwa vigumu kumpuuza nahodha huyo wa zamani wa England.
'Baada ya kuthibitishwa kuwa nina ugonjwa huu nilitamani kufa'
Kulingana na Nduta ugonjwa huu una dalili zaidi ya 40 na kila mmoja ana dalili zake. Lakini anachokijua ni kwamba kadiri miaka inavyoongezeka ndivyo hali ya ugonjwa huu inavyoendelea kuwa mbaya.
Nchi sita zinazowavutia watalii zaidi barani Afrika
Sawa na maeneo mengine ya duniani, Afrika inaendelea kuwavutia watalii wa kimataifa mwaka wa 2026.
Mlima Kallang uko wapi na kwa nini Trump anautolea vitisho vya kuushambulia?
Katika vitisho vyake vya hivi karibuni dhidi ya Iran, Rais wa Marekani Donald Trump amelitaja eneo ambalo halijulikani sana ikilinganishwa na vituo vingine vya nyuklia, "Koh Kalang," eneo la chini ya ardhi lililo karibu na kituo cha nyuklia cha Natanz.
Tetesi za soka Jumatano: Chelsea, Arsenal, Tottenham zamuwania Rashford
Tottenham Hotspur, Chelsea na Arsenal zinadaiwa kupanga kumsajili mshambuliaji wa Manchester United, Marcus Rashford.
Trump atishia kushambulia kituo cha Nyuklia cha Iran chini ya Mlima Kalang
Rais wa Marekani Donald Trump amesema nchi yake huenda ikalenga hivi karibuni kituo cha chini ya ardhi cha Iran kilichopo chini ya Mlima Kalang, huku akisisitiza kuwa lengo ni nyenzo za nyuklia na si mitambo ya kurutubisha urani pekee.
Khalil al-Hayya: Mfahamu kiongozi mpya wa Hamas, mrithi wa Yahya Sinwar
Akiwa mpatanishi mkuu wa Hamas, Hayya alipata umaarufu wa kimataifa kwa kuongoza ujumbe wa kundi hilo katika mazungumzo ya kusitisha mapigano yasiyo ya moja kwa moja na kukutana na wapatanishi nchini Misri na Qatar.
Namna umri unavyoathiri hamu ya kushiriki tendo la ndoa
"Sababu inayowafanya watu waache kufanya ngono ni ileile inayowafanya waache kuendesha baiskeli. Ima hawawezi tena kuipanda, au hawana baiskeli", asema Profesa Patricia Goodson wa Chuo Kikuu cha Texas A and M.
Kambi ambayo wanajeshi wa Marekani wameuawa na mashambulizi ya Iran
Kambi hiyo ina shughuli za Jeshi la Anga la Jordan, na katika miaka ya hivi karibuni imepata umuhimu wa kikanda katika suala la maendeleo ya usalama wa Mashariki ya Kati.
Mzozo wa Iran: Tunachojua kuhusu shambulio la Marekani dhidi ya Bandar Abbas
Vyombo vya habari vya Iran na maafisa wa eneo hilo wamesema kwamba mashambulizi ya Marekani yalilenga mitambo ya umeme, mitambo ya kuondoa chumvi, madaraja, barabara, na njia za reli kusini mwa Iran.
Unataka kupunguza gharama za data?
Soma mtandao wetu wa maandishi kwa gharama ndogo za data.
Gumzo mitandaoni
Freemasons waelezea taratibu zao na faida za kuwa mwanachama
Kuanzia salamu za siri za mikono na kukunja ncha za suruali hadi tuhuma za upendeleo kwa watu wa karibu, uonevu na kukandamiza mageuzi, sifa ya Freemasons haijawahi kuwa nzuri wakati wote.
Jumuiya ya Madola yapendekeza kesi ya Tundu Lissu 'imalizwe' ndani ya siku 30
Jumuiya ya madola imeitaka serikali ya Tanzania kutafuta ufumbuzi wa kisiasa na kisheria kumaliza kesi inayomkabili kiongozi wa upinzani nchni humo Tundu Lissu
Mama mkatili: "Alinilazimisha kuishi kama mgonjwa kwa miaka mingi"
Mama yake alikuwa karibu naye kila wakati, na kila alipomwona Nina akitabasamu, alikasirika na kumwadhibu.
Vyuo 10 bora Afrika Mashariki 2026
Elimu inasalia kuwa mojawapo ya vichocheo muhimu zaidi vya maendeleo kote Afrika, na Afrika Mashariki haijabaguliwa.
Njia 4 nadra ambazo mwanamke anaweza kupata ujauzito
Isipokuwa iwapo umeruka darasa la elimu ya ngono, labda una ufahamu wa kimsingi jinsi watoto wanavyoumbwa.
Kwa nini uume ni kipimo muhimu cha afya ya mwanaume
Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa hivi punde, wanaume wenye tatizo la kushindwa kusimamisha uume walibainika kuwa na uwezekano mkubwa kwa asilimia 59 wa kupata ugonjwa wa mishipa ya moyo na uwezekano mkubwa kwa asilimia 34 wa kupata kiharusi.
Je, wanadamu wanaweza kupata watoto katika anga za juu?
Jumuiya ya watafiti wa anga za juu imetoa ahadi kubwa kuhusu mustakabali wa maisha ya binadamu nje ya Dunia.
Kwa nini Kenya inapaswa kuwa na wasiwasi kuhusu kuongezeka kwa magenge ya wahuni?
Mwaka wa 2026 umeshuhudia visa vya kutisha vya uhuni ambavyo mpaka leo ni wachache ambao wamekamatwa na kufikishwa mahakamani kukabiliwa na mashtaka.
Kiongozi Mkuu wa Iran Mojtaba Khamenei yuko wapi?
Mojtaba Khamenei, ambaye alitangazwa kuteuliwa kuwa Kiongozi Mkuu wa Iran, ndani ya wiki moja tangu kuuawa kwa baba yake, bado hajaonekana hadharani.
CCM kuna Yuda au ni homa ya urais 2030?
Mitandao ya kijamii nchini Tanzania imelipuka kwa mjadala kuhusu jina moja tu - "Yuda". Limeibuliwa na mwanasiasa Simai Mohammed Said. Yuda ni nani? Kwanini Simai ameamua kuzungumza sasa? Na kwa nini achague Bunge, badala ya vikao vya chama, kuwasilisha ujumbe huo?
Jinsi Trump anavyohangaika kumaliza vita na Iran
Baada ya karibu mwezi mmoja wa mazungumzo ya kwenda na kurudi ya kusitisha mapigano, kati ya mataifa hayo mawili, yenye uhasama, Trump na Wamarekani wanaonekana kukabiliwa na changamoto zile zile zilizokuwepo kabla ya Vita na Iran.
BBC News Swahili sasa ipo WhatsApp
Vipindi vya Redio
Listen Next, Dira Ya Dunia, 18:29, 22 Julai 2026, Muda 1,00,00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 06:59, 22 Julai 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 05:59, 22 Julai 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Dira Ya Dunia, 18:29, 21 Julai 2026, Muda 1,00,00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Dira ya Dunia TV
Kipindi cha habari motomoto, kinachowaweka watazamaji karibu zaidi na yanayojiri duniani























































