Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Gumzo la Derby ya Afrika Mashariki Afcon laendelea
Iliyochapishwa
Ni mechi ambayo ilikuwa ikisubiriwa na wengi. Derby ya Afrika Mashariki baina ya nyota wawili, Taifa Stars na Harambee Stars. Ilitabiriwa, ikafanyiwa mzaha kwenye mitandao na mwishowe ngoma ilitamba lakini gumzo bado linaendelea.