Manchester United yaingia kwenye kinyang’anyiro cha kumsaka Rudiger

Chanzo cha picha, Getty Images
Kuna tetesi nyingi zinazoendelea kuenea kuhusu hofu ya mipango ya Manchester United ya mwezi Januari.
Magazeti ya Ujermani ya Bild yanaripoti kuwa uhusiano baina ya meneja wa Manchester United Ralf Rangnick na wawakilishi wa Antonio Rudiger yanaweza kuwaweka mashetani wekundu katika mabishano kwa ajili ya kusaini mkataba na mlinzi huyo mwenye umri wa miaka.
Paris St Germain, Real Madrid ba Bayern Munich pia wako katika mbio za kumsaka Rudiger, ambaye mkataba wake katika Chelsea unamalizika msimu huu , huku akidai malipo ya pauni £200,000-kwa wiki kusaini mkataba, kulingana taarifa.
Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue
Mwisho wa X ujumbe










