Sisi asifu oparesheni ya kuindoa Meli iliyokwama katika mfereji wa Suez
Rais wa Misri Abdel Fattah Al-Sisi amesifu operesheni ya Kundolewa kwa meli kubwa ya makontena ambayo ilikuwa imekwama katika Mfereji wa Suez na kusababisha msongamano mkubwa wa meli zinazofaa kupita katika mfereji huo
"Kwa kurudisha mambo kuwa katika hali ya kawaida, kwa mikono ya Wamisri, ulimwengu wote unaweza kuhakikishiwa njia ya bidhaa na mahitaji ambazo zinachukuliwa kupitia njihii ya baharini’ Bwana Sisi amenukuliwa akisema.
Mwandishi wa habari wa Euronews ameiweka mtandaoni video ya meli hiyo iliyo na urefu wa mita 400 (1,300ft) ikwa jina Ever Givenikielea tanguilipokwama wiki jana
Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue
Mwisho wa X ujumbe





























