Tazama: Moto ulivyoathiri miundombinu Mlima Kilimanjaro

Maelezo ya video, Tazama: Moto ulivyoathiri miundombinu Mlima Kilimanjaro
Iliyochapishwa

Moto uliowaka kwa siku zaidi ya kumi kwenye hifadhi ya taifa yam lima Kilimanjaro umeacha athari kwenye maeneo mbalimbali ukiachana na uharibifu wa kiikolojia

Moto huo umeteketeza miundombinu ya mawasiliano iliyokuwa inapeleka mawasiliano ya intaneti kwenye kilele cha mlima Kilimanjaro

Hakuna taarifa rasmi mpaka sasa kutoka serikalini iwapo moto huo tayari umedhibitiwa kabisa

Eagan Salla ametuandalia taarifa ifuatayo