Uchaguzi wa Kenya 2022:Mfumko wa bei za bidhaa umeathiri vipi maisha?

Iliyochapishwa

Jacqueline Ngima Gichuki ni mjane na mama wa watoto 2.

Maisha hayajawa rahisi kwa mwanamke huyu ambaye hapo awali aliishi kwa raha. Amepoteza kila kitu na akaamua kutoka mji mkuu Nairobi hadi Kiamunyi huko Nakuru.

Watoto wake walihama kutoka shule ya kibinafsi hadi ya umma Hawezi kuweka akiba .

Anaishi katika hali ya uchochole na mara nyingi hulazimika kuchukua vifaa kwa mkopo kutoka kwa kioski. Anne Ngugi na taarifa ifuatayo.