Wamiliki wa magari Tanzania wakimbilia Gesi ya magari
Iliyochapishwa
Magari zaidi ya 1000 Jijini Dar es salaam yameongezewa mfumo wa uendeshaji wa gesi, wengi wa wamiliki wakilenga kukabiliana na gharama ya mafuta
Licha ya mwamko huo wa watumiaji wa magari changamoto inasalia kuwa ni vituo vya kujazia ambavyo kwa mujibu wa serikali viko mbioni kujengwa
Mwandishi wetu Eagan Salla na taarifa zaidi