Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Rodney Kiggundu: ‘Watu wananiambia umetupa ushauri mbaya’
Kutana na kijana kutoka nchini Uganda anayevuma kutokana na Video yake inayohamasisha watu kufurahia maisha kwa kutumia pesa zao
Jina lake halisi ni Rodney Kiggundu lakini kwa jina maarufu anajulikana kama EAT THAT MONEY GUY kijana mfanyabiashara wa masuala ya Teknolojia ambaye msemo wake wa EAT THAT MONEY umempa umaarufu kwa kutumiwa na maelfu ya watu katika mtandao wa TikTok pekee ikiwemo watu maarufu na wasanii wa muziki kutokana nchi mbali mbali za Afrika Mashariki
Anasema amekuwa akifuatwa na watu wanaotumia vibaya fedha zao kwa starehe wakimsema kuwa amewashauri vibaya kupitia video hiyo.
Mwandishi wa BBC @frankmavura amefanya mahojiano kwa nia ya mtandao na kijana Rodney