Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Othman Masoud Othman: Hakuna hatua kubwa iliyopigwa katika serikali ya umoja wa kitaifa
Iliyochapishwa
Ni mwaka mwaka mmoja tangu kufariki kwa aliyekuwa makamu wa rais wa kwanza wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad, katika mahojiano maalumu makamu wa sasa wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Othman Masoud Othman amemwambia mwandishi wetu Aboubakar Famau kwamba, mpaka sasa hakuna hatua kubwa iliyopigwa katika serikali ya umoja wa kitaifa kwa sababu ya kukosekana kwa utashi wa kisiasa miongoni mwa viongozi.