Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Nigeria: Mvumbuzi anayepambana na dawa feki nchini Nigeria
Iliyochapishwa
Kumeza dawa bandia kunaweza kuwa hatari sana. Mwanaume mmoja nchini Nigeria, Adebayo Alonge nusura afariki kutokana na hilo. Kwa hiyo aliamua kuchukua hatua ya kukabiliana na hilo kwa kubuni kifaa mahiri ambacho kinaweza kupima ikiwa dawa ni bandia au la.