''Iwe unamudu au humudu gharama za mazishi..sisi hatujali'
Iliyochapishwa
Kuzika miili huko Mashariki mwa Nigeria daima imekuwa suala la mvutano. Tofauti na Waislamu wengi kaskazini, watu katika eneo lenye Wakristo wengi mashariki mara nyingi hujitahidi kulipa ada ya sherehe za kuzika wapendwa wao.